Skip to navigation Skip to content

Sauti ya Pwani

Sauti ya Umma

  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Michezo
  • Afya
  • Burudani
  • Makala
  • Kimataifa
  • Blogs
  • Videos
  • MOMBASA 94.2 FM | MALINDI 103.3 FM | GALOLE 105.7 FM | LAMU 106.7 FM | VOI 103.4 FM
Sauti ya Pwani

Sauti ya Pwani

Sauti ya Umma

  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Michezo
  • Afya
  • Burudani
  • Makala
  • Kimataifa
  • Blogs
  • Videos
Recent News
  • Si Suala la Kisiasa! Kuzuiwa na Kufurushwa kwa Karua na Wenziwe ni Uamuzi Huru w... May 19, 2025
  • ‘Tanzania Sio Shamba la Bibi Kila Mtu Kuingia!’ Rais Samia Awakemea Wanaha... May 19, 2025
  • Headline;Kiongozi mkuu wa kanisa la kianglikana nchini  Jackson Ole Sapit aikoso... May 17, 2025
  • Wanaharakati Wapendekeza kubuniwa Mbinu Mbadala kukabili Mauaji ya Wanawake na D... May 17, 2025
  • Kilifi United yalambishwa mchanga nyumbani May 16, 2025

Year: 2022

  • Home
  • 2022
  • Page 40
January 6, 20220

Zoezi la kuwaokoa watu walioripotiwa baada ya boti kuzama kisiwani Pemba limesitishwa.

Uamuzi huo umekuja baada ya kiongozi wa timu ya kikosi cha wapiga mbizi KMKM Kasim Khalfan kuthibitisha kuwa taarifa za sasa hazioneshi ushahidi wa wa

Read More
January 6, 20220

Aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma anakabiliwa na mashtaka mapya.

Aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma anakabiliwa na mashtaka mapya ya mapendeleo wakati wa uongozi wake. Kwenye Ripoti ya Jopo lililokuwa likif

Read More
January 6, 20220

Kamishna wa Kwale Gideon Oyagi awataka wavuvi eneo la shimoni kuzingatia sheria za uvuvi.

Kamishna wa kaunti ya Kwale Gidion Oyagi amewataka wavivi eneo la shimoni kuzingatia sheria za uvuvi zilizowekwa na serikali. Akizungumza mjini Kwale

Read More
January 6, 20220

Idara ya kitaifa ya huduma kwa vijana nys yatangaza nafasi za usajili wa vijana katika idara hiyo.

Idara ya kitaifa ya huduma kwa vijana nys imetangaza nafasi za usajili wa vijana katika idara hiyo unaotarajiwa kuanza wiki ijayo jumatatu tarehe 10 m

Read More
January 6, 20220

Washukiwa kumi wa ugaidi kufikishwa katika mahakama ya Mpeketoni kaunti ya Lamu.

Washukiwa kumi wa ugaidi wanatrajiwa kufikishwa katika mahakama ya Mpeketoni kaunti ya Lamu kwa tuhuma za ugaidi baada ya kukamatwa katika maeneo mbal

Read More
January 5, 20220

Pwani si ngome ya ODM asema mwaniaji wa kiti cha uwakilishi wa wanawake kaunti ya Mombasa Miraj Abdillahi.

Viongozi mbalimbali wa kisiasa hususan wanaowanaia nyadhfa mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti wanaendelea kujipigia debe ili k

Read More
January 4, 20220

EPRA YATOA MAJINA YA VITUO 19 VILIVYOPATIKANA VIKIUZA BIDHAA CHAFU.

Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na mafuta ya Petroli (EPRA) imetoa majina ya vituo 19 vya kujaza mafuta vilivyopatikana vikiuza bidhaa chafu na zinazos

Read More
January 4, 20220

MTU MMOJA AMEUAWA KWA KUCHOMWA MOTO KATIKA KIJIJI CHA BOBO WADI YA HINDI KAUNTI YA LAMU.

Mtu mmoja ameuawa kwa kuchomwa moto katika kijiji cha Bobo wadi ya Hindi kaunti ya Lamu. Mwenyekiti wa kitaifa wa Tume ya uajiri wa polisi NPSC Eliu

Read More
January 4, 20220

POLISI HUKO KWALE WAMSAKA MWANAMUME ANAYEDAIWA KUWAUWA KWA KUWACHINJA WANAWE WAWILI.

Polisi katika eneo la Kinango katika Kaunti ya Kwale wanamsaka mwanamume aliyewaua wanawe wawili kwa kuwakata shingo siku ya Jumapili. Kulingana na k

Read More
January 3, 20220

MAHAKAMA KUTATUA MZOZO WA KIWANGO CHA FEDHA ZINAZOTUMIWA NA VYAMA VYA KISIASA…

Mvutano kuhusu kiwango cha fedha kinachostahili kutumiwa na vyama vya kisiasa na wanasiasa wanaolenga nyadhifa mbalimbali katika uchaguzi mkuu sasa um

Read More

Posts navigation

Previous 1 … 39 40 41 Next
Contact Information

Vraj Dham Building,
Opp. DT Dobie, Sauti ya Kenya Rd
Ganjoni, Mombasa

T: +254(0) 782 942666

E: info@sautiyapwanifm.com
W: www.sautiyapwanifm.com

We are a coastal based commercial radio station in Mombasa and broadcast in both Swahili and English language. Our programs are educative, informative and entertaining. The target audience ranges from the young to the old due to well tailored and carefully selected programs that engage our listeners.
© 2021 | WordPress Theme : VMagazine Lite