Skip to navigation Skip to content

Sauti ya Pwani

Sauti ya Umma

  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Michezo
  • Afya
  • Burudani
  • Makala
  • Kimataifa
  • Blogs
  • Videos
  • Wasiliana nasi
  • MOMBASA 94.2 FM | MALINDI 103.3 FM | GALOLE 105.7 FM | LAMU 106.7 FM | VOI 103.4 FM
Sauti ya Pwani

Sauti ya Pwani

Sauti ya Umma

  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Michezo
  • Afya
  • Burudani
  • Makala
  • Kimataifa
  • Blogs
  • Videos
  • Wasiliana nasi
Recent News
  • Mwili wa mwanamke uliokatwa katwa wapatikana huko KESE, Wundanyi….. April 12, 2021
  • Waumini wa dini ya kiislamu wajiandaa kuupokea mwezi mtukufu wa ramadhan… April 12, 2021
  • Jaji Chitembwe atetea azma yake ya kutaka kuwa jaji mkuu…… April 12, 2021
  • Watu wengine 21 wajeruhiwa katika ajali barabara ya Malindi – Mombasa… April 12, 2021
  • LAVIDOH:WALINIAMBIA SITAWEZA MZIKI……….. April 11, 2021

Category: Kimataifa

  • Home
  • Kimataifa
April 11, 20210

Rais wa Djibouti Ismael Omar Guelleh kuongoza taifa hilo kwa kipindi cha 5…………..

Kulingana na matokeo yaliyotangazwa mapema leo Guelleh amechaguliwa kwa asimilia 98 ya kura zilizopigwa  ambazo ni Laki moja1, elfu sitini na saba 67,

Read More
April 9, 20210

Rais Kenyatta amuomboleza mwanamfalme Philip wa Uingereza…

Rais Uhuru Kenyatta amejiunga na viongozi wengine wa ulimwengu kumuomboleza Prince Philip, mwanamfalme wa Edinburg aliyefariki hii leo. Prince Phil

Read More
March 27, 20210

Shirika la afya duniani WHO latoa wito kwa makampuni ya kutengeneza chanjo dhidi ya corona kwa mataifa yaliyoendelea kusaidia kusambaza kwa dharura dozi milioni 10 kupitia mpango wa covax ili kuyanufaisha mataifa maskini.

Mkurugenzi wa  WHO tedros  amesema mwaka ulipoanza alitoa hakikisho kwamba katika kipindi cha siku mia 100 duniani kila taifa litakua limeanza kutoa c

Read More
March 26, 20210

Hatimaye hayati Magufuli azikwa huko kwao Chato….

Aliyekuwa rais wa Tanzania hayati John Pombe Magufuli amezikwa alasiri ya leo kwenye makaburi ya familia nyumbani kwao Chato–Kagera nchini Tanzania.

Read More
March 24, 20210

Waziri wa Mambo ya Ndani Fred Matiang’i aipa makataa ya siku kumi na nne UNHCR……………………….

Waziri wa Mambo ya Ndani Fred Matiang’i amelipa shirika la UNHCR makataa ya siku 14 kuja na ramani ya kufungwa kwa kambi za wakimbizi za Dadaab na Kak

Read More
March 23, 20210

Mwili wa Magufuli wawasili Zanzibar ili kuagwa rasmi….

Viongozi wa serikali na dini mbalimbali pamoja na wananchi tayari wamejitokeza katika viwanja vya Amani Karume Kisiwani Zanzibar kuaga mwili ya hayati

Read More
March 22, 20210

Maelfu wajitokeza kuuaga mwili wa Magufuli, huko Dodoma.

Maelfu ya raia wamejitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania John Pombe Magufuli katika uwanja wa jamuhuri mjini Do

Read More
March 20, 20210

Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amempongeza Samia Suluhu Hassan kwa kuwa Rais mpya wa Jamuhuru ya Muungano wa Tanzania .

Katika taarifa iliyotumwa kwenye mtandao wake wa Twitter Bw Museveni amesema kuwa Uganda itafanya maombolezo ya siku 14 na kuongeza kuwa ''Roho yake i

Read More
March 20, 20210

Rais Uhuru Kenyatta hii leo atembelea makazi ya balozi wa jamuhuri ya Tanzania humu nchini

Rais akiandamana na maafisa wa ngazi ya juu serikalini kati yao wakiwa jaji mkuu Philomena Mwilu,na maspika wa mabunge yote, wote wakituma risala zao

Read More
JOHN POMBE MAGUFULI
March 20, 20210

Ibada ya kuombea na kuaga mwili ya mwendazake aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli inaendelea kwa sasa katika kanisa la St Peters jijini Daresalaam.

Ma mia ya waombolezaji  wakiongozwa na Rais wa  Tanzania Samia Suluhu Hassan wameweza kufika katika kanisa hilo kuuaga mwili wa hayati Magufuli. Ai

Read More

Posts navigation

1 2 3 Next
Contact Information

Vraj Dham Building,
Opp. DT Dobie, Sauti ya Kenya Rd
Ganjoni, Mombasa

T: +254(0) 782 942666

E: info@sautiyapwanifm.com
W: www.sautiyapwanifm.com

We are a coastal based commercial radio station in Mombasa and broadcast in both Swahili and English language. Our programs are educative, informative and entertaining. The target audience ranges from the young to the old due to well tailored and carefully selected programs that engage our listeners.
© 2021 | WordPress Theme : VMagazine Lite