Skip to navigation Skip to content

Sauti ya Pwani

Sauti ya Umma

  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Michezo
  • Afya
  • Burudani
  • Makala
  • Kimataifa
  • Blogs
  • Videos
  • MOMBASA 94.2 FM | MALINDI 103.3 FM | GALOLE 105.7 FM | LAMU 106.7 FM | VOI 103.4 FM
Sauti ya Pwani

Sauti ya Pwani

Sauti ya Umma

  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Michezo
  • Afya
  • Burudani
  • Makala
  • Kimataifa
  • Blogs
  • Videos
Recent News
  • Headline;Kiongozi mkuu wa kanisa la kianglikana nchini  Jackson Ole Sapit aikoso... May 17, 2025
  • Wanaharakati Wapendekeza kubuniwa Mbinu Mbadala kukabili Mauaji ya Wanawake na D... May 17, 2025
  • Kilifi United yalambishwa mchanga nyumbani May 16, 2025
  • Kero la Uvamizi wa Ndovu Lavuruga Masomo eneo la Midoina-Bamba Kaunti ya Kilifi May 14, 2025
  • Kina mama zaidi ya 100 wawezeshwa kiuchumi Kilifi. May 14, 2025

Month: August 2023

  • Home
  • 2023
  • August
August 31, 20230

Waziri wa Ardhi Mombasa Ajipata Matatani, Mashirika Yakijamii Yakiungana Kumkabili

Mashirika yasio ya kiserikali yaliopanga mkutano wa kujadili mustakabali wa maswala ya ardhi na  ujenzi wa nyumba za bei nafuu kaunti ya Mombasa yamem

Read More
August 31, 20230

Sajili za lala salama Kuwasha Moto wa EPL Uingereza

Timu mbalimbali barani ulaya zilijitosa sokoni dakika za lala salama kufanya usajili ili kuimarisha vikosi vyao tayari kwa msimu wa 2023/2024 ambao ul

Read More
August 31, 20230

WAKAZI Kilifi wamekosa Ufahamu kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi

Wakazi wengi kaunti ya Kilifi hawana ufahamu wa kutosha kuhusu maswala ya tabia nchi. Haya yamebainika baada ya kukamilika kwa warsha iliyowaleta pamo

Read More
August 31, 20230

Matumaini ya Logos Hope Kwa Wanafunzi Mombasa

Wanafunzi wa shule za msingi, upili na wa vyuo vikuu watapata fursa ya kipekee kuzuru Meli ya maktaba inayoelea ya MV Logos. Waziri wa elimu kaunti

Read More
August 31, 20230

Madaktari Bandia wa mifugo wazua hofu ya usalama wa Afya Kilifi

Kuna hofu ya hatari ya maisha ya mifugo na binadamu kufuatia ripoti ya ongezeko la madaktari bandia wa mifugo huko Magarini, Kaunti ya Kilifi. Kuling

Read More
August 30, 20230

Fahamu Magavana 21 wanaochunguzwa na EACC kuhusu Ufisadi

Tume ya Maadili na Kupambana na ufisadi nchini (EACC) imeanzisha uchunguzi dhidi ya magavana 21 wanaoandamwa na kashfa mbalimbali za ufisadi. Magav

Read More
August 30, 20230

Azimio na Kenya Kwanza Zaafikiana Masuala 5 Makuu ya Kujadiliana kwenye Mazungumzo

Kamati ya kitaifa ya mazungumzo ya maridhiano kati ya Serikali na Upinzani hatimaye imetia sahihi mfumo maalum utakaowaongoza kwenye mazungumzo hayo.

Read More
August 30, 20230

Dorcas Rigathi: Wazazi wajibikieni malezi mema kupunguza uozo wa vijana mitaani

Mke wa Naibu wa rais Pasta Dorcas Rigathi ameomba wazazi kuwa na malezi mema kwa watoto wao ili kusaidia kupunguza ongezeko la vijana randaranda mtaan

Read More
August 29, 20230

Mhame Kenya, muishie Gerezani au muende mbinguni! Ruto azidi kuwaonya Mafisadi

Kwa mara nyingine tena Rais William Ruto ameshikilia msimamo wa kupambana na ufisadi kikamilifu ili kuhakikisha mali ya umma yanalindwa dhidi ya upora

Read More
August 29, 20230

Maseneta Wateta katika Bunge la Seneti, Cherargei akifurushwa Nje

Kizaazaa kilizuka katika Bunge la Seneti wakati wa mjadala wa kuidhinisha kamati ya mazungumzo ya maridhiano. Kizaazaa hicho kilijiri kati Seneta wa

Read More

Posts navigation

1 2 … 10 Next
Contact Information

Vraj Dham Building,
Opp. DT Dobie, Sauti ya Kenya Rd
Ganjoni, Mombasa

T: +254(0) 782 942666

E: info@sautiyapwanifm.com
W: www.sautiyapwanifm.com

We are a coastal based commercial radio station in Mombasa and broadcast in both Swahili and English language. Our programs are educative, informative and entertaining. The target audience ranges from the young to the old due to well tailored and carefully selected programs that engage our listeners.
© 2021 | WordPress Theme : VMagazine Lite