Skip to navigation Skip to content

Sauti ya Pwani

Sauti ya Umma

  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Michezo
  • Afya
  • Burudani
  • Makala
  • Kimataifa
  • Blogs
  • Videos
  • MOMBASA 94.2 FM | MALINDI 103.3 FM | GALOLE 105.7 FM | LAMU 106.7 FM | VOI 103.4 FM
Sauti ya Pwani

Sauti ya Pwani

Sauti ya Umma

  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Michezo
  • Afya
  • Burudani
  • Makala
  • Kimataifa
  • Blogs
  • Videos
Recent News
  • ‘Niliapa Kulinda Haki na Demokrasia,’ Rais Ruto asema Wote Waliotekwa Nyara ‘Wam... May 13, 2025
  • Mkuu wa Idara ya Ujasusi Noordin Haji Asema Kenya haina Vifaa vya kutetea Mipaka... May 13, 2025
  • Kindiki awaambia Wapinzani wa Serikali Kujiandaa kwa ‘Mapambano Makali ya Kisias... May 13, 2025
  • Timu 32 Kutoka Kaunti Za Mombasa Na Kwale Kuwania Ubingwa Wa Makala Ya 6 Ya Rash... May 13, 2025
  • Mamia ya Wakazi Mvita-Mombasa Wajitokeza kwa Matibabu ya Bure May 11, 2025

Category: Habari

  • Home
  • Habari
  • Page 124
March 10, 20220

Wahudumu wa bodaboda kaunti ya Mombasa watishia kufanya maandamano.

Wahudumu wa bodaboda kaunti ya Mombasa wametishia kufanya maandamano kufuatia hatua ya rais Uhuru Kenyatta kutoa agizo la kuwataka kusajili upya pikip

Read More
March 8, 20220

Wagonjwa katika hospitali ya rufaa ya coast general wanaendelea kuhangaika baada ya shughuli za matibabu kusitishwa kufuatia mgomo wa madaktari.

Baadhi ya wagonjwa hao wameeleza meza yetu ya habari kuwa hawakuwa na habari kuhusu mgomo huo huku wakisema mgomo huo umewaathiri pakubwa kwani wameko

Read More
March 8, 20220

Maafisa wa kutetea haki za binadam sasa wanataka serikali kuhakikisha sheria zinafuatwa ili kukabiliana na na visa vya unyanyasaji kingono.

Hii ni baada ya mwanamke mmkoja kujipata mikononi mwa wanabodaboda jijini Nairobi baada ya kudaiwa kusababisha ajali. Afisa wa masuala ya dharura kat

Read More
March 8, 20220

Baadhi ya watahiniwa walazimika kufanya mtihani wa kitaifa hospitalini

Wasichana wawili wajawazito kutoka Msambweni ni miongoni mwa watahiniwa zaidi ya elfu 23 katika kaunti ya Kwale wanaofanya mtihani wa kitaifa wa daras

Read More
March 8, 20220

Wanawake hapa nchini wanaungana na wenzao kuadhimisha siku ya kimataifa kuhusu wanawake.

Kongamano mbali mbali zinaendelea hapa Mombasa kusherehekea mafanikio na juhudi zilizopigwa na Mwanamke katika jamii. Viongozi wa maswala ya wanawake

Read More
March 8, 20220

Khadija Binti Mzee apokea tuzo ya mwanahabari bora wa mwaka kutoka Muslims for Human Rights (MUHURI).

Mtangazaji wa Kipindi cha sauti ya mwanamke hapa Sauti ya Pwani Khadija Binti Mzee ameteuliwa miongoni mwa wanaowania tuzo za wanahabari wanaochangia

Read More
March 6, 20220

Hussein Dado asema hatakubali njama ya kumshawishi kujitoa katika kinyang’anyiro cha ugavana wa Tana river.

Aliyekuwa naibu waziri katika wizara ya usalama wa ndani Hussein Dado amesema hatakubali njama ya kumshawishi kujitoa katika kinyang’anyiro cha ugavan

Read More
March 6, 20220

Vigogo wa muungano wa One kenya alliance wamefanya mazungumzo ya Kina na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni.

Vigogo wa muungano wa One kenya alliance Oka kalonzo Musyoka wa chama cha Wiper na mwenzake Gideon Moi wa KANU wamefanya mazungumzo ya Kina na Rais w

Read More
March 4, 20220

MSHIRIKISHI MKUU NEMA KAUNTI YA MOMBASA SAMUEL LOPOKOIT AMESEMA BIDHAA ZA PLASTIKI ZINAZOSHUHUDIWA NCHINI ZIMETOKA MATAIFA JIRANI.

Uwepo wa bidhaa za plastiki bado unaendelea kutumika hapa nchini hata baada ya kupigwa marufuku kwa muda sasa. Kulingana na mshirikishi mkuu wa Shi

Read More
March 4, 20220

USAWA WA KIJINSIA KATIKA BUNGE LA KITAIFA YAKOSA KUAFIKIWA YA KUWA KWENYE KATIBA.

Licha ya sheria ya usawa wa kijinsia katika bunge la kitaifa kuwa kwenye katiba ya nchi, Serikali chini ya uongozi wa raisi uhuru Kenyatta imeshindwa

Read More

Posts navigation

Previous 1 … 123 124 125 … 215 Next
Contact Information

Vraj Dham Building,
Opp. DT Dobie, Sauti ya Kenya Rd
Ganjoni, Mombasa

T: +254(0) 782 942666

E: info@sautiyapwanifm.com
W: www.sautiyapwanifm.com

We are a coastal based commercial radio station in Mombasa and broadcast in both Swahili and English language. Our programs are educative, informative and entertaining. The target audience ranges from the young to the old due to well tailored and carefully selected programs that engage our listeners.
© 2021 | WordPress Theme : VMagazine Lite