Skip to navigation Skip to content

Sauti ya Pwani

Sauti ya Umma

  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Michezo
  • Afya
  • Burudani
  • Makala
  • Kimataifa
  • Blogs
  • Videos
  • MOMBASA 94.2 FM | MALINDI 103.3 FM | GALOLE 105.7 FM | LAMU 106.7 FM | VOI 103.4 FM
Sauti ya Pwani

Sauti ya Pwani

Sauti ya Umma

  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Michezo
  • Afya
  • Burudani
  • Makala
  • Kimataifa
  • Blogs
  • Videos
Recent News
  • Robert Prevost Mzaliwa wa Marekani Achaguliwa Papa Mpya May 9, 2025
  • Kaunti ya Mombasa Yaanza Zoezi la Usajili wa Vitambulisho vya Kitaifa; Wakazi wa... May 7, 2025
  • Wanahabari Wausiwa Kukumbatia Teknolojia ya AI kwa Umakini Kuhakiki Kazi zao May 7, 2025
  • Matatizo ya afya ya akili ni tishio la usalama Kilifi May 6, 2025
  • Mfahamu Obelia Sea Fur, Nyota Kutoka Mitaa ya Kibera!! May 2, 2025

Images

  • Home
  • Image
  • Page 80
October 5, 20210

SIKU YA WALIMU DUNIANI YAADHIMISHWA HII LEO.

Hii leo ikiwa ni siku ya maadhimisho ya walimu Duniani, Shirika la Kitaifa la ubunifu KNIA limetoa pendekezo kwa wizara ya Elimu kufadhili kikamilifu

Read More
October 5, 20210

WAKILI TAJIKA KWA JINA EVANS MONARI AAGA DUNIA.

Wakili tajika ambaye pia amekuwa akiugua kwa mda mrefu kwa jina Evans Monari ameaga dunia. Wakili Monari amekuwa akiugua kwa mda na kulazwa katika

Read More
October 4, 20210

WITO UMETOLEWA KWA VIJANA KOTE NCHINI KUJITOKEZA NA KUSAJILIWA KAMA WAPIGA KURA …

Wito umetolewa kwa vijana kote Nchini kujitokeza na kusajiliwa kama wapiga kura ili kufanikisha idadi inayolengwa kwenye awamu hii ya ujasili ya wapig

Read More
October 4, 20210

SERA NA MSIMAMO KWA YALE AMBAYO KIONGOZI AMEYAFANYA KWA WANANCHI NDIO NJIA PEKEE ITAYOMUUZA ASEMA ABULSWAMAD SHARIFF NASSIR.

Akizungumza na wakaazi wa Magogoni eneo bunge la Kisauni Nassir amewataka wakaazi wa Mombasa kuwa macho na kumchagua kiongozi ambaye ana sera na msiam

Read More
October 4, 20210

KAFYU YAONGEZWA KWA SIKU 30 ZAIDI.

Marufuku ya kuwa nje kuanzia saa nne usiku hadi saa kumi alfajiri yameongezwa kwa siku 30 zaidi. Marufuku yaliyokuwa hapo awali yalikamilika tarehe 3

Read More
October 2, 20210

Watu 13 watiwa mbaroni Rwanda wakituhumiwa kupanga mashambulio ya “kigaidi”

Polisi ya Rwanda imesema, imewatia mbaroni watu 13 wanaoshukiwa kupanga mashambulio ya "kigaidi" dhidi ya mji mkuu wa nchi hiyo Kigali na kuwaonyesha

Read More
October 2, 20210

Wito watolewa kwa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kusajiliwa kama wapiga kura .

Wito umetolewa wa wakaazi eneo bunge la Malindi kujitokeza kwa wingi na kusajiliwa kama wapiga kura ili waweze kuwachagua viongozi watakao leta mabadi

Read More
October 2, 20210

Hatuna uwezo wa kulipa bima ya NHIF wasema wananchi wa kawaida.

Hisia mseto zimeibuka miongoni mwa wakenya baada ya mswada kuhusu Bima ya afya kupitishwa hapo juzi. Mswada huo uliopitishwa na wabunge umehimiza k

Read More
October 2, 20210

Waziri wa Elimu George Magoha aumiminia sifa mtaala mpya wa Elimu wa CBC

Waziri wa Elimu George Magoha ameumiminia sifa mtaala mpya wa Elimu wa CBC Akiongea katika warsha ya uzinduzi wa chuo cha ufundi cha Nyandarua kati

Read More
September 30, 20210

Zaidi ya familia elfu 27 zimeathirika na janga la ukame katika maeneo ya Lungalunga na Kinango kaunti ya Kwale.

Zaidi ya familia elfu 27 zimeathirika na janga la ukame katika maeneo ya Lungalunga na Kinango kaunti ya Kwale. Eneo la Samburu ndilo lililoathirik

Read More

Posts navigation

Previous 1 … 79 80 81 … 120 Next
Contact Information

Vraj Dham Building,
Opp. DT Dobie, Sauti ya Kenya Rd
Ganjoni, Mombasa

T: +254(0) 782 942666

E: info@sautiyapwanifm.com
W: www.sautiyapwanifm.com

We are a coastal based commercial radio station in Mombasa and broadcast in both Swahili and English language. Our programs are educative, informative and entertaining. The target audience ranges from the young to the old due to well tailored and carefully selected programs that engage our listeners.
© 2021 | WordPress Theme : VMagazine Lite