Skip to navigation Skip to content

Sauti ya Pwani

Sauti ya Umma

  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Michezo
  • Afya
  • Burudani
  • Makala
  • Kimataifa
  • Blogs
  • Videos
  • MOMBASA 94.2 FM | MALINDI 103.3 FM | GALOLE 105.7 FM | LAMU 106.7 FM | VOI 103.4 FM
Sauti ya Pwani

Sauti ya Pwani

Sauti ya Umma

  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Michezo
  • Afya
  • Burudani
  • Makala
  • Kimataifa
  • Blogs
  • Videos
Recent News
  • Robert Prevost Mzaliwa wa Marekani Achaguliwa Papa Mpya May 9, 2025
  • Kaunti ya Mombasa Yaanza Zoezi la Usajili wa Vitambulisho vya Kitaifa; Wakazi wa... May 7, 2025
  • Wanahabari Wausiwa Kukumbatia Teknolojia ya AI kwa Umakini Kuhakiki Kazi zao May 7, 2025
  • Matatizo ya afya ya akili ni tishio la usalama Kilifi May 6, 2025
  • Mfahamu Obelia Sea Fur, Nyota Kutoka Mitaa ya Kibera!! May 2, 2025

Images

  • Home
  • Image
  • Page 86
September 8, 20210

Utovu wa usalama Laikipia wadaiwa kusababishwa na viongozi wakuu serikalini…….

Gavana wa Laikipia Nderitu Mureithi na mbunge wa Laikipia kaskazini Sarah Lekorer wameibua madai kwa utovu wa usalama katika eneo la Laikipia magharib

Read More
September 7, 20210

DRC Yapokea dozi 250,000 za chanjo ya Moderna….

Jamhuri ya kidemokrasia yaCongo imepokea dozi 250,000 za chanjo ya Corona aina ya Moderna. Ni mara ya kwanza DRC kupokea chanjo nyingine isioyokuwa

Read More
September 7, 20210

Mudavadi amshauri Ruto kujiuzulu iwapo haridhiki na utenda kazi wa rais Uhuru Kenyatta……

Kiongozi wa chama cha ANC Musalia Mudavadi ndiye kiongozi wa hivi punde kuzungumzia tofauti inayoshuhudiwa baina ya rais Uhuru Kenyatta na naibu wake

Read More
September 7, 20210

Ndovu saba wazua taharuki huko Rabai kaunti ya Kilifi…..

Maafisa wa polisi wametumwa kushika doria katika vijiji mbali mbali eneo bunge la Rabai kaunti ya Kilifi ili kuhakikisha kwamba ndovu saba waliovamia

Read More
September 7, 20210

Maafisa wa trafiki waonywa dhidi ya kuweka vizuizi barabarani…..

Maafisa wa trafiki wameonywa dhidi ya kukiuka agizo la awali la kuweka vizuizi vya barabarani kiholela. Onyo hilo limetolewa na inspekta mkuu wa po

Read More
September 5, 20210

Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi amekanusha kujiunga na chama cha Democratic Party…

Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi amekanusha kujiunga na chama cha Democratic Party na kutaja habari hizo kama uvumi huku akisisitiza kuwa bado

Read More
September 5, 20210

Naibu wa rais Dkt William Ruto amezuru maeneo ya mlima Kenya…

Naibu wa rais Dkt William Ruto amezuru maeneo ya mlima Kenya katika ziara yake ya kutafuta umaarufu eneo hilo uchaguzi mkuu wa mwaka ujao unapokaribia

Read More
September 4, 20210

Kundi la Taliban linatazamiwa kutangaza serikali ndani ya siku zijazo…

Kundi la Taliban linatazamiwa kutangaza serikali ndani ya siku zijazo licha ya mapigano makali yanayoendelea katika bonde la Panjshir, ambako vikosi v

Read More
September 4, 20210

Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho amesisitiza kuwa BBI ililenga kuwaunganisha wakenya…

Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho amesisitiza kuwa BBI ililenga kuwaunganisha wakenya vilevile kuimarisha mazingira ya wananchi ya kufanyia kazi. K

Read More
September 3, 20210

Wasichana watano wa shule watoroka kutoka kwa watekaji nyara wa Nigeria…..

Wasichana watano kati ya makumi ya wanafunzi waliotekwa nyara kutoka shule moja ya upili katika jimbo la Zamfara kaskazini mwa Nigeria wametoroka kuto

Read More

Posts navigation

Previous 1 … 85 86 87 … 120 Next
Contact Information

Vraj Dham Building,
Opp. DT Dobie, Sauti ya Kenya Rd
Ganjoni, Mombasa

T: +254(0) 782 942666

E: info@sautiyapwanifm.com
W: www.sautiyapwanifm.com

We are a coastal based commercial radio station in Mombasa and broadcast in both Swahili and English language. Our programs are educative, informative and entertaining. The target audience ranges from the young to the old due to well tailored and carefully selected programs that engage our listeners.
© 2021 | WordPress Theme : VMagazine Lite