Skip to navigation Skip to content

Sauti ya Pwani

Sauti ya Umma

  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Michezo
  • Afya
  • Burudani
  • Makala
  • Kimataifa
  • Blogs
  • Videos
  • MOMBASA 94.2 FM | MALINDI 103.3 FM | GALOLE 105.7 FM | LAMU 106.7 FM | VOI 103.4 FM
Sauti ya Pwani

Sauti ya Pwani

Sauti ya Umma

  • Home
  • Habari
  • Siasa
  • Michezo
  • Afya
  • Burudani
  • Makala
  • Kimataifa
  • Blogs
  • Videos
Recent News
  • Mamia ya Wakazi Mvita-Mombasa Wajitokeza kwa Matibabu ya Bure May 11, 2025
  • Robert Prevost Mzaliwa wa Marekani Achaguliwa Papa Mpya May 9, 2025
  • Kaunti ya Mombasa Yaanza Zoezi la Usajili wa Vitambulisho vya Kitaifa; Wakazi wa... May 7, 2025
  • Wanahabari Wausiwa Kukumbatia Teknolojia ya AI kwa Umakini Kuhakiki Kazi zao May 7, 2025
  • Matatizo ya afya ya akili ni tishio la usalama Kilifi May 6, 2025

Category: Afya

  • Home
  • Afya
  • Page 17
March 27, 20210

Shirika la afya duniani WHO latoa wito kwa makampuni ya kutengeneza chanjo dhidi ya corona kwa mataifa yaliyoendelea kusaidia kusambaza kwa dharura dozi milioni 10 kupitia mpango wa covax ili kuyanufaisha mataifa maskini.

Mkurugenzi wa  WHO tedros  amesema mwaka ulipoanza alitoa hakikisho kwamba katika kipindi cha siku mia 100 duniani kila taifa litakua limeanza kutoa c

Read More
March 26, 20210

Watu 2,008 waambukizwa corona huku 6 wakiaga dunia hii leo….

Kenya hii leo imerekodi visa vipya 2,008 vya maambukizi ya COVID-19 kutoka kwa sampuli 11,360 katika muda wa saa 24 zilizopita. Kufikia sasa Kenya

Read More
March 26, 20210

Rais aongoza maafisa wakuu kupewa chanjo ya covid 19……

Rais Uhuru Kenyatta leo ameongoza maafisa wakuu wa serikali kupokea chanjo ya corona katika Ikulu ya Nairobi. Baada ya kutangaza masharti mapya ya

Read More
March 26, 20210

Rais apiga marufuku kuingia na kutoka kaunti tano humu nchini….

Rais Uhuru Kenyatta amepiga marufuku usafiri wa kuingia na kutoka katika kaunti za Nairobi, Kajiado, Machakos, Kiambu na Nakuru kuanzia leo saa sita u

Read More
March 25, 20210

Viwango vya chanjo ya Astrazeneca kuzuia maambukizi vyapunguzwa….

Kampuni ya Astrazeneca sasa imepunguza viwango vya uwezekano wa chanjo yake kuzuia maambukizi ya virusi vya corona kwa asilimia 3. Ripoti ya hivi pun

Read More
March 23, 20210

Maafisa wa usalama Taita Taveta washauriwa kupata chanjo wa CORONA…..

Maafisa wa usalama sawa na maafisa wa utawala wa mkoa kaunti ya Taita Taveta wameshauriwa kupata chanjo ya kujikinga kutokana na maambukizi ya Corona.

Read More
March 23, 20210

Wanahabari wahimizwa kupimwa virusi vya corona…

Ushirika wa waandishi wa habari Ukanda wa Pwani sasa wanawataka wanahabari Nchini kutembelea taasisi za afya kupimwa virusi vya Corona. Mshirikishi

Read More
March 23, 20210

Hospitali ya Jocham ni ya kwanza kutoa chanjo ya covid 19….

Hospitali ya kibinafsi ya Jocham hapa mjini Mombasa imekuwa ya kwanza miongoni mwa hospitali za kibinafsi kuanza kutoa chanjo ya kuthibiti maambukizi

Read More
March 22, 20210

Wakaazi 1400 Changamwe wanufaika na mpango wa kugharamia matibabu yao….

Jumla ya wakaazi elfu moja na mia nne kutoka eneo la changamwe wamenufaika na shilling million nane nukta nne kutoka kwa hazina ya maendeleo ya eneo b

Read More
March 21, 20210

KMPDU YASHINIZA SERIKALI KUKABILI AWAMU YA TATU YA CORONA.

Chama cha Madaktari nchini KMPDU sasa kinataka serikali kuweka mikakati mwafaka kukabili awamu ya tatu ya virusi vya corona. Katibu mkuu wa KMPDU-C

Read More

Posts navigation

Previous 1 … 16 17 18 … 21 Next
Contact Information

Vraj Dham Building,
Opp. DT Dobie, Sauti ya Kenya Rd
Ganjoni, Mombasa

T: +254(0) 782 942666

E: info@sautiyapwanifm.com
W: www.sautiyapwanifm.com

We are a coastal based commercial radio station in Mombasa and broadcast in both Swahili and English language. Our programs are educative, informative and entertaining. The target audience ranges from the young to the old due to well tailored and carefully selected programs that engage our listeners.
© 2021 | WordPress Theme : VMagazine Lite